Kamandi Kuu ya jeshi la Marekani usiku kucha ilitoa picha ya kile inachosema ni meli kadhaa za wanamaji za Iran ...
Marais wanane wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC), wanatarajia kukutana katika Jiji la Arusha, Machi 7 ...
Israel inasema kuwa inafanya mashambulizi kote Iran na Lebanon huku mawaziri wa fedha wa G7 wakitarajiwa kufanya mkutano wa dharura kuhusu bei ya mafuta.
Washiriki wa Programu ya Mwanamke Kiongozi inayoendeshwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamekabidhi mchango wa Sh ...
Vifaa vilivyotolewa na kampuni ya Helios Towers ni kompyuta 26, 'projekta', vifaa vya matengenezo, 'whiteboard', TV janja na miundombinu yote muhimu ya maabara.
MBUNGE wa Bunda Mjini, Ester Bulaya, ni miongoni mwa wanawake viongozi wachache waliokua katika familia ya wazazi wapenda ...
KATIKA ulimwengu wa soka ambao mara nyingi unaonekana kutawaliwa na wanaume, kuna wanawake wachache wanaothubutu kuvunja mipaka na kuonyesha wanaweza kufanya kazi kubwa sawa na wenzao.
Katika zama za ushindani wa kidijitali, uaminifu wa chanzo cha habari unatajwa kuwa mtaji mkuu. JAB yasema ithibati si udhibiti wa maudhui, bali ni uwekezaji wa ...
An artist’s conception shows how additional Amazon Leo satellites would provide coverage in Earth’s polar regions. (Amazon Illustration) Amazon has won the Federal Communications Commission’s approval ...
The first Ariane 64 lifts off Feb. 12 carrying 32 Amazon Leo satellites. Credit: ESA/CNES/Arianespace/ArianeGroup/Optique video du CSG–P. Piron MOUNTAIN VIEW, Calif ...
The FCC authorized Amazon to deploy 4,500 additional Leo internet satellites. The new tranche would bring Amazon's planned constellation to roughly 7,700 satellites. Leo is poised to rival SpaceX's ...
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hatua ya usitishaji mapigano kati ya serikali ya Kongo na kundi lenye silaha la AFC/M23 inatarajiwa kuanza kutekelezwa leo saa sita mchana, chini ya upatanishi ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results