Shirika la Habari la Iraq limeripoti wafanyakazi 38 waliokolewa na mtu mmoja amefariki, likimnukuu afisa wa kijeshi.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kwa kushirikiana na Taasisi ya Global Education Link Ltd wamesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano yenye lengo la kukuza tafiti, ubunifu ...
Baada ya zaidi ya miaka 66 ya ushirikiano wa kihistoria katika tasnia ya habari Afrika Mashariki, hatua mpya imeanza kufuatia uamuzi wa Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) kuuza hisa zake k ...
PICHA zinazoonyesha mlinzi, Rushine De Reuck akisaini mkataba mpya wa Simba juzi hazikunipita bure. Ilikuwa lazima nitie ...
Israel inasema kuwa inafanya mashambulizi kote Iran na Lebanon huku mawaziri wa fedha wa G7 wakitarajiwa kufanya mkutano wa dharura kuhusu bei ya mafuta.
Vyombo vya habari nchini Iran vimeripoti kwamba Baraza la Wataalamu Machi 8 limemteua Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Mkuu wa ...
Ingawa Israel na Marekani zimeonya kwamba Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, aliyeteuliwa siku ya Jumapili jioni, atalengwa na ...
Bw Mojtaba ni mtoto wa marehemu, Ayatollah Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika wimbi la awali la mashambulizi yaliyoanzishwa ...
Israel imetangaza mapema Jumatatu asubuhi, Machi 9, kwamba imefanya mashambulio mapya nchini Iran dhidi ya "miundombinu ya ...
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha mwaka mmoja katika mkutano wa 25 wa kawaida wa Wakuu wa Nchi wa jumuiya hiyo. RAIS ...
KOCHA mpya wa timu ya taifa ya Morocco, Mohamed Ouahbi, ameahidi kuendeleza mafanikio makubwa yaliyopatikana hivi karibuni huku akisisitiza kuwa uteuzi wa wachezaji utazingatia kiwango ...
Viongozi wa kidini wa Iran wanatathmini wateuliwa wa kumrithi kiongozi wao mkuu, Ayatollah Ali Khamenei, ambaye aliuawa wiki iliyopita. Vyombo vya habari vimeripoti kuwa Rais wa Marekani Donald Trump ...