BINGWA mtetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeendeleza rekodi bora ya kutopoteza, baada ya kikosi hicho kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Singida Black Stars, katika mechi kali iliyopigwa leo... UO ...
JUVENTUS imeanza mazungumzo na wawakilishi wa kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Ureno, Bernardo Silva ambaye ...
MANCHESTER City inakabiliwa na kazi kubwa sana ili kuendelea kuwa na matumaini ya kusonga mbele kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya ...
MAMBO si shwari. Tottenham Hotspur imendelea kuzorota chini ya kocha Igor Tudor. Kipigo cha aibu cha mabao 5-2 ilichopata ...
Nahodha wa Manchester City, Bernardo Silva, amesema matumaini ya timu yake kusonga mbele katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yako katika hali ngumu baada ya kupokea kichapo kizito cha ...
MAMBO ni moto! Kama ulidhani kwamba Ukonga Kings kumepoa, sahau. Kinachoelezwa ni kwamba utakuwapo mchujo wa kusaka vipaji kwa ajili ya kuunda kikosi kitakachoshiriki mashindano ya Ligi ya ...
JOTO la fainali ya pili ya Dunda Swish Tournament linazidi kuzikumba timu za Bandari Mwanza na Bugando Planet. Fainali hiyo itafanyika Machi 15, 2026 katika Uwanja wa Mirongo mjini Mwanza, ...
NI Elie Mpanzu ambaye dakika 15 za mwisho zilitosha kwake kuimaliza mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa leo Jumatano Machi 11, ...
ZILE vurugu zote za wapi mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Tanzania Prisons na Yanga itachezwa, zimezimwa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) iliyopangwa ipigwe Jamhuri, Dodoma huku wenyeji wa ...
ALIYEKUWA Kocha wa viungo na utimamu wa mwili wa Yanga raia wa Bosnia-Herzegovina, Adnan Behlulovic ameanza mazungumzo ya kujiunga na Azam FC kwa ajili ya kuongezea nguvu ndani ya kikosi hicho.
Kagoma alitua Simba Julai 8, 2024 akitokea Singida Fountain Gate ambayo sasa ni Fountain Gate. Katika kipindi cha miaka miwili akiwa Simba, amekuwa mchezaji muhimu eneo la kiungo licha ya kusajiliwa ...
KOSA kubwa la kipa wa Chelsea, Filip Jorgensen lilipelekea timu hiyo kuporomoka mwishoni mwa mechi huku Khvicha Kvaratskhelia akifunga mabao mawili na kuifanya Paris Saint-Germain kuwa na ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results